KIWANDA CHA DAWA NA VIFAA TIBA NJOMBE KUOKOA BIL. 33 KILA MWAKA
Na Mwandishi wetu-Makambako Serikali itaokoa Bilioni 33 kwa mwaka kwa ajili ya ununuzi wa Dawa na Vifaa tiba baada ya kukamilika kwa ujenzi wa viwanda vya dawa na Vifaa tiba kinachojengwa Mkoani Njombe.Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima mara baada ya kutembelea kiwanda hicho kilichopo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed